Selfika na JF: Snap it. Show it

Thanks Anne


Ila watoto ni kisingizio tu mama....kula kula ndo kunatuponza
Wamama wengi basi wanafeli Sana

Wewe nahisi utakuwa sawa kiumri na dada yangu mmoja hivi ila yeye Sasa mwili wake
hapo ana mtoto mmoja tu


Unaonekana kabinti kama sisi ambao hatujazaa, nikiwa mkubwa na watoto ntakuja kuchukua summary namna ya kufanya ili mwili ubaki hivihivi bila vitambi na minyama uzembe.
 
Chukua tu summary leoleo! Kwakweli nyama uzembe sio.
Yaani huyu dada anautunza mwili wake vizuri.
Mm nina dada yangu anasingizia operation..amenenepeana anakula hovyohovyo.
Huwa nawaambia kuna dada mmoja huwa namuona jf, ana watoto nadhani ni 3 ila mwili wake sasa mzuri anaonekana binti mdogo kama Mimi tu wa 20's
 
Wala hayawezi yakanikera.
Ndiyo kuna asili lakini pia kuna kujiendekeza.
Wale wamejiendekeza..kabla ya kuzaa walikuwa na miili mizuri tu!miili na nyama uzembe zinazidi kuongezeka kadiri wanavyoongeza watoto.

Tuna mama yetu mzazi,,yupo 60's sasa ila ukimuona ni kama binti tu!hana kitambi wala nyama uzembe miaka yote na hapo alituzaa watoto7.
Sasa hawa wenye watoto wa4,3,1 uniambie kitambi ni asili???
Sidhani.

Btw I'm not a nyakyusa.
 
Mbona hao wanyakyusa asilimia kubwa wana hizo shepu

Ishu ya huyu dada ni ya kipekee na anastahili tu pongezi..ni watu wa kaskazini wangapi waliozaa wana mwili mzuri Kama wake?

Akhsante mkuu,wageni sihitaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…