Selfika na JF: Snap it. Show it

pole sana Mkuu
 
Ndiyo mkuu nilishawahi kulala rumande kituo cha KAGONGWA KAHAMA

Ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kukamatwa na polisi na kupakizwa kwenye gari ya polisi.

Nililia sana siku hiyo mule ndani
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ now you are a man bila kuzama mle nasikia unakua hujakamilika Kama mwanaume though sio sehem nzuri kabisa aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…