Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,836
Bageshi. Unakamata ugali kila siku lakini hunenepi, unakwama wapi? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Haha....Hata sijui nakwama wapi bhageshi maana kama kula nakula sana tu.Bageshi. Unakamata ugali kila siku lakini hunenepi, unakwama wapi? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wengine mpaka tumekatazwa kula ugali (mara kwa mara) [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Bakia hivyo hivyo. Vitambi siyo dili.Haha....Hata sijui nakwama wapi bhageshi maana kama kula nakula sana tu.
Huwa natamani na kupenda nipate kakitambi kadogo ka kufutia/kupangusia simu kioo[emoji1]
Vipi kwema lakini mkuu
Amina mpendwaBakia hivyo hivyo. Vitambi siyo dili.
Huku kwema bageshi. Tumshukuru Mungu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Weeeh!! Kwani sio Chakorii ?Naomba umuite wifi yako kipenzi linahbaby aje hapa
Kumbe ndio maana unakula wadudu!!Bageshi. Unakamata ugali kila siku lakini hunenepi, unakwama wapi? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wengine mpaka tumekatazwa kula ugali (mara kwa mara) [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Chakorii alishanikataa eti sijui pande nne za dunia [emoji1]
Kaka/dada
Karibu [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Ukakata tamaa mapema hivyo?Chakorii alishanikataa eti sijui pande nne za dunia [emoji1]
Senene niliwaonja last week ni watamu kumbe, kumbikumbi hapana[emoji119][emoji119]
Wasukuma wazembe, mkaona mtafute neno moja litumike kotekote[emoji2297]Bro/Sis
Ni lugha zilizokomaa tu ndiyo zina tabia hiyo. Siyo unarundika mamisamiati tu bila sababu ya msingi...[emoji16][emoji16][emoji16]Wasukuma wazembe, mkaona mtafute neno moja litumike kotekote[emoji2297]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha bwana!! Mliona maneno mengi mtachoka kukandamiza.Ni lugha zilizokomaa tu ndiyo zina tabia hiyo. Siyo unarundika mamisamiati tu bila sababu ya msingi...[emoji16][emoji16][emoji16]
Hapana. Ni economic principle. Ipo kila mahali mpaka kwenye lugha.
Niliona bora nikate tamaa tu ila nimeangukia mikono salama kabisa kwa linahbaby mtoto mzuri sana ana sifa na ugonjwa/magonjwa yangu yote nyemelezi.
Nipende na mimi[emoji1][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Napenda sana samaki
Sent using Jamii Forums mobile app