Kapeace JF-Expert Member Joined May 26, 2017 Posts 25,624 Reaction score 69,381 Oct 2, 2019 #7,621 Na mie ntayapata hamna kitu kinaongeza confidence kwa mwanamke km akisifiwa na ke wenzie ile ya real sio ya kung'ong'a SweetieLee said: Mumie utaiga mwandiko lakini hutoiga 'mamizigo makubwa, makubwa'..!! Click to expand...
Na mie ntayapata hamna kitu kinaongeza confidence kwa mwanamke km akisifiwa na ke wenzie ile ya real sio ya kung'ong'a SweetieLee said: Mumie utaiga mwandiko lakini hutoiga 'mamizigo makubwa, makubwa'..!! Click to expand...
O offg76 JF-Expert Member Joined Dec 3, 2016 Posts 368 Reaction score 418 Oct 2, 2019 #7,622 Na cheki kwa mbali watt wazuri na ma hb hadi cjawahi furahishwa hv jaman,sifa kwako mshana jr
Dejane JF-Expert Member Joined Jan 1, 2014 Posts 51,003 Reaction score 72,296 Oct 2, 2019 #7,623 ArIeN said: Dina mama tubariki na picha yako basi Click to expand... Nisharusha mbona
miminimama JF-Expert Member Joined Aug 2, 2018 Posts 703 Reaction score 1,828 Oct 2, 2019 #7,624 Hauna TigoPesa maana wakala wa mpesa yupo mbali sana na mie, waweza nisaidia kwa tigo maana nkienda kwa wakala wa mpesa inabidi nisubirie hapo mpaka utoe je haitoleta usumbufu kwako labda kwa muda huu umebanana hauwezi kutoa? Mshana Jr said: Umejishindia mwekundu kwa kututia majaribuni na mgongo nasubiri namba ya wakala (M-PESA) Click to expand...
Hauna TigoPesa maana wakala wa mpesa yupo mbali sana na mie, waweza nisaidia kwa tigo maana nkienda kwa wakala wa mpesa inabidi nisubirie hapo mpaka utoe je haitoleta usumbufu kwako labda kwa muda huu umebanana hauwezi kutoa? Mshana Jr said: Umejishindia mwekundu kwa kututia majaribuni na mgongo nasubiri namba ya wakala (M-PESA) Click to expand...
miminimama JF-Expert Member Joined Aug 2, 2018 Posts 703 Reaction score 1,828 Oct 2, 2019 #7,625 mshipa jamani namsubiria na yeye ArIeN said: kuna mdhamini ameongezeka hapo boss....bodi ya wadhamini inabidi mfanye mambo basi Click to expand...
mshipa jamani namsubiria na yeye ArIeN said: kuna mdhamini ameongezeka hapo boss....bodi ya wadhamini inabidi mfanye mambo basi Click to expand...
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,357 Reaction score 108,494 Oct 2, 2019 #7,626 Siku ya saba, Mungu akatulia kisha akamuumba yna2... kwa mfano wa ua waridi yna2 aliumbwa yna2 said: Nawatakia siku njema Mshana Kapeace Wadogo zangu wazuriwazuri AdiosView attachment 1221556 Click to expand...
Siku ya saba, Mungu akatulia kisha akamuumba yna2... kwa mfano wa ua waridi yna2 aliumbwa yna2 said: Nawatakia siku njema Mshana Kapeace Wadogo zangu wazuriwazuri AdiosView attachment 1221556 Click to expand...
Carleen JF-Expert Member Joined Nov 6, 2018 Posts 8,407 Reaction score 28,838 Oct 2, 2019 #7,627 kapeace said: Na mie ntayapata hamna kitu kinaongeza confidence kwa mwanamke km akisifiwa na ke wenzie ile ya real sio ya kung'ong'a Click to expand... Watalaaniwa watakaojaribu kufanya hilo..!!
kapeace said: Na mie ntayapata hamna kitu kinaongeza confidence kwa mwanamke km akisifiwa na ke wenzie ile ya real sio ya kung'ong'a Click to expand... Watalaaniwa watakaojaribu kufanya hilo..!!
Dr hyperkid JF-Expert Member Joined Jun 7, 2019 Posts 13,740 Reaction score 27,103 Oct 2, 2019 #7,628 miminimama said: Na ya wakala inbox mshana... View attachment 1221594 Click to expand... Mama na jichura lake hongera umependeza
miminimama said: Na ya wakala inbox mshana... View attachment 1221594 Click to expand... Mama na jichura lake hongera umependeza
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Oct 2, 2019 #7,629 Dinazarde said: Nisharusha mbona Click to expand... woooiii🙆♂️ sikuoiona wajameni
miminimama JF-Expert Member Joined Aug 2, 2018 Posts 703 Reaction score 1,828 Oct 2, 2019 #7,630 Mdogo wangu nimeshinda nasubiria kutoa kwa wakala ahsante sana na kapeace Saint anne Sakayo said: Pichaaa ya miminimama banaa Click to expand...
Mdogo wangu nimeshinda nasubiria kutoa kwa wakala ahsante sana na kapeace Saint anne Sakayo said: Pichaaa ya miminimama banaa Click to expand...
Philipo D. Ruzige JF-Expert Member Joined Sep 25, 2015 Posts 9,429 Reaction score 27,123 Oct 2, 2019 #7,631 Hii picha unaweza ukaweka ukalia ugali mkavu yna2 said: Nawatakia siku njema Mshana Kapeace Wadogo zangu wazuriwazuri AdiosView attachment 1221556 Click to expand...
Hii picha unaweza ukaweka ukalia ugali mkavu yna2 said: Nawatakia siku njema Mshana Kapeace Wadogo zangu wazuriwazuri AdiosView attachment 1221556 Click to expand...
mshipa JF-Expert Member Joined Jun 16, 2015 Posts 12,355 Reaction score 23,084 Oct 2, 2019 #7,632 Majukwaa mengine yametelekezwa watu wamebanana kwenye huu uzi Kweli uchawi upo
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Oct 2, 2019 #7,633 miminimama said: mshipa jamani namsubiria na yeye Click to expand... atakuwa yuko kwa wakala nadhani
miminimama JF-Expert Member Joined Aug 2, 2018 Posts 703 Reaction score 1,828 Oct 2, 2019 #7,634 Kweli mmenisifia nikapata nguvu na moyo najua kuna wengi wameshanijua humu ila si mbaya ni katika kuchangamshana tu. kapeace said: Na mie ntayapata hamna kitu kinaongeza confidence kwa mwanamke km akisifiwa na ke wenzie ile ya real sio ya kung'ong'a Click to expand...
Kweli mmenisifia nikapata nguvu na moyo najua kuna wengi wameshanijua humu ila si mbaya ni katika kuchangamshana tu. kapeace said: Na mie ntayapata hamna kitu kinaongeza confidence kwa mwanamke km akisifiwa na ke wenzie ile ya real sio ya kung'ong'a Click to expand...
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Oct 2, 2019 #7,635 mshipa said: Majukwaa mengine yametelekezwa watu wamebanana kwenye huu uzi Kweli uchawi upo Click to expand... asiyeamini uchawi upo muonyeshe huu uzi
mshipa said: Majukwaa mengine yametelekezwa watu wamebanana kwenye huu uzi Kweli uchawi upo Click to expand... asiyeamini uchawi upo muonyeshe huu uzi
Dejane JF-Expert Member Joined Jan 1, 2014 Posts 51,003 Reaction score 72,296 Oct 2, 2019 #7,636 mshipa said: Majukwaa mengine yametelekezwa watu wamebanana kwenye huu uzi Kweli uchawi upo Click to expand...
mshipa said: Majukwaa mengine yametelekezwa watu wamebanana kwenye huu uzi Kweli uchawi upo Click to expand...
mshipa JF-Expert Member Joined Jun 16, 2015 Posts 12,355 Reaction score 23,084 Oct 2, 2019 #7,637 miminimama said: mshipa jamani namsubiria na yeye Click to expand... Namba ya wakala tafadhali
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,924 Reaction score 831,405 Oct 2, 2019 Thread starter #7,638 ArIeN said: asiyeamini uchawi upo muonyeshe huu uzi Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 2, 2019 #7,639 miminimama said: Mdogo wangu nimeshinda nasubiria kutoa kwa wakala ahsante sana na kapeace Saint anne Click to expand... Weraaaaaaaa Chibonge
miminimama said: Mdogo wangu nimeshinda nasubiria kutoa kwa wakala ahsante sana na kapeace Saint anne Click to expand... Weraaaaaaaa Chibonge
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,924 Reaction score 831,405 Oct 2, 2019 Thread starter #7,640 Watu8 said: Siku ya saba, Mungu akatulia kisha akamuumba yna2... kwa mfano wa ua waridi yna2 aliumbwa Click to expand...
Watu8 said: Siku ya saba, Mungu akatulia kisha akamuumba yna2... kwa mfano wa ua waridi yna2 aliumbwa Click to expand...