Selfika na JF: Snap it. Show it

Na cheki kwa mbali watt wazuri na ma hb hadi cjawahi furahishwa hv jaman,sifa kwako mshana jr
 
Hauna TigoPesa maana wakala wa mpesa yupo mbali sana na mie, waweza nisaidia kwa tigo maana nkienda kwa wakala wa mpesa inabidi nisubirie hapo mpaka utoe je haitoleta usumbufu kwako labda kwa muda huu umebanana hauwezi kutoa?
Umejishindia mwekundu kwa kututia majaribuni na mgongo nasubiri namba ya wakala (M-PESA)
 
Siku ya saba, Mungu akatulia kisha akamuumba yna2... kwa mfano wa ua waridi yna2 aliumbwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji8][emoji7][emoji173][emoji625][emoji779][emoji419][emoji817][emoji781]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…