Nausubiri kama chafyaWajumbe wajumbe kaeni mkao wa kula nashusha mzigo
Nakuona unavyo reflesh tuNausubiri kama chafya
Ahsante kwa neno mama mchungaji
Kwahiyo ndo unanizoom sio😢😢😢Nakuona unavyo reflesh tu
Woyooo
















Mimi natoa password zangu za benki Utanishukuru baadaeWoyooo
Msihangaike jamani maana nilishaingiza zote
Boss Bwana akubarikie na kukulinda
Akuzidishie zaidi na zaidi uje utuwekee nyingine
Baraka za Mungu ziwe nawe na abariki kazi zako zote



Aisee umemuwahi hadi Chakorii we we kweli kiboko nadhani hizo in baraka za neno la Leo ulilotoa hapaWoyooo
Msihangaike jamani maana nilishaingiza zote
Boss Bwana akubarikie na kukulinda
Akuzidishie zaidi na zaidi uje utuwekee nyingine
Baraka za Mungu ziwe nawe na abariki kazi zako zote
Hapana. Wewe nilikuwa sikuoni.Tumetupana kimtindo siku hizi, ni ubussy sio?
Sis nipunguzie moja.Woyooo
Msihangaike jamani maana nilishaingiza zote
Boss Bwana akubarikie na kukulinda
Akuzidishie zaidi na zaidi uje utuwekee nyingine
Baraka za Mungu ziwe nawe na abariki kazi zako zote
Kabla hujatoa fanya kunirushia hata 10 KwanzaMimi natoa password zangu za benki Utanishukuru baadae![]()
ndipo uendelee na zoeziYou're missedSis nipunguzie moja.

AmenAisee umemuwahi hadi Chakorii we we kweli kiboko nadhani hizo in baraka za neno la Leo ulilotoa hapa
Hongera

nikaingiza.10 hazitoshi we chukua zote mi nafungua akaunti mpya hiyo ya zamani nakuachia tu AnneKabla hujatoa fanya kunirushia hata 10 Kwanzandipo uendelee na zoezi


Inabidi hii system niifanyie promo iendelee zaidi na zaidi


10 inanitosha dogo,kubwa sana hiyo10 hazitoshi we chukua zote mi nafungua akaunti mpya hiyo ya zamani nakuachia tu Anne![]()
Usibanduke hapa mama mchungaji Mzigo utaendelea kushukaInabidi hii system niifanyie promo iendelee zaidi na zaidi
Wadau muongezeke kuunga mkono![]()
Sawa bossUsibanduke hapa mama mchungaji Mzigo utaendelea kushuka
