Hapana mkuu.asante sana..hii haki ninayotendewa inatosha kabisa 🥂🥂Ukinena na PM yangu hakika nakuhakikishia kila usiku asubuhi huwezi kufutuka maana nitakuwa nakutendea haki sitahiki mkuu[emoji1]
NIMESHIBA
Weka picha kupunguza storiHuu uzi story zimekua nyingi kuliko picha [emoji35]
MmmmmmmmhHapana mkuu.asante sana..hii haki ninayotendewa inatosha kabisa [emoji1635][emoji1635]
Weka picha mkuu usiendeleze storyHuu uzi story zimekua nyingi kuliko picha [emoji35]
Unaumwa jino kama mimi mkuu😎😎Mmmmmmmmh
Hahahahaha.......Unaumwa jino kama mimi mkuu[emoji41][emoji41]
Hiyo naniliu Baki nayo tu aiseHahahahaha.......
Hapana naumwa niniliu....
Mimi nakufahamu/kujua wewe tena naweza kukuchora jinsi ulivyo
Hahahaha[emoji15][emoji15]wewe unanijua tena??
Sana tena vizuri muno
Kaka kuwa makini[emoji41]
Dada kuwa na makini
Mjini kuna joto kaka ohooooo...nakuzumu tu arifu
Uchawi upo
Hahahaha, nimependa hiiHivyoo eee..sawa
Karibu chipsi mayai ya kienyeji na nyamaView attachment 1563189
Asante mkuu
Mi nakula ugali dona,mboga za majani,Dagaa,/samaki/nyama nyanya chungu,bamia,biringanya na makorokocho mengine..kama unahicho nilichokiandika [emoji115]niambie nije kula
Yani unakula manyama na mayai nachuro kabisa na mazaga mengine ya asili na bado mwembamba[emoji28][emoji28]daslamu si ungekata moto blaza
Nyanya chungu huwa nasikia siyo salama kula mwanamke eti anaweza akapata usijali kwenye vita majimaji[emoji1]
Labda zile nyeupe.mi nakulaga zile chungu kabisa zinazoitwa ngogwe.kama ngogwe zinaleta vita ya maji maji [emoji28][emoji28][emoji28]basi nitakuwa ninamtera[emoji28][emoji28]
Hebu weka picha acha kuongea sana kaka
Hahaha...wembamba wangu wa asili mkuu wangu
[emoji1][emoji1]Chakorii bhana
Niweke picha ya nini?
Wacha weee..hongera aise..
Sie wengine tu kila usiku asubuhi tushafutuka[emoji1787][emoji1787]
Ukinena na PM yangu hakika nakuhakikishia kila usiku asubuhi huwezi kufutuka maana nitakuwa nakutendea haki sitahiki mkuu[emoji1]
NIMESHIBA
Hapana mkuu.asante sana..hii haki ninayotendewa inatosha kabisa [emoji1635][emoji1635]
Unaumwa jino kama mimi mkuu[emoji41][emoji41]
Hahahahaha.......
Hapana naumwa niniliu....
Hahahaha, nyie marafiki wazuri sana,nawafuatilia kwa ukaribu mnoHiyo naniliu Baki nayo tu aise
Ipi imekupemdeza hapo baba😅Hahahaha, nimependa hii
Hahahaha, niambie Mkuu nilikua tyt ,naona uko vzr@mtu chake
Chating Rafiki imeenda vzrIpi imekupemdeza hapo baba[emoji28]
wacha weee...usiniambie..ngoja nimuanzishie mikato ya kiume😅Hahahaha, nyie marafiki wazuri sana,nawafuatilia kwa ukaribu mno
Usiniambie rafiki yangu😅😅🧚♀️🧚♀️Chating Rafiki imeenda vzr
Yuko vizuri eeee safiHahahaha, niambie Mkuu nilikua tyt ,naona uko vzr
HahahahaYuko vizuri eeee safi
Yeah nzuriUsiniambie rafiki yangu[emoji28][emoji28][emoji3344][emoji3344]