Mbn umeng’ang’ania sana mkuu..au umesahau dhima nzima ya kuwa na ids feki nini...Maelezo kwa sauti yangefaa
Na hata wakati mwingine simulizi
Huo uko njiani Rafik endelea kuusubiri tu🧚♀️🧚♀️🥂Hahahaha, Rafiki nausubiri mwaliko huo toka kwako
🥰🥰Mie mbna ndo mda wote nipo alone na ndio life sytle angu, sema hapa nipo sehemu muhimu ambapo nna attend future ya maisha yangu. Ila nktoka n home tyuuuh nakaa pekee naenjoy life.
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
HahahahaHuo uko njiani Rafik endelea kuusubiri tu
Sawa lakini hatuendani na slogan ya JF nadhani inasema "where we dare to talk openly"Ila hata majina yetu sio realMbn umeng’ang’ania sana mkuu..au umesahau dhima nzima ya kuwa na ids feki nini...
Watu wanakuchora tu na aidia yako.tafuta kitu kingine mkuu hiyo hebu Isahau kwa muda
Where we dare kufanyaje!!!lakin sio sauti zidi kile humu.kuna mahali nilisoma umri wako ni miaka 19au 20 kama sijakosea sasa sijui ni kweli??Sawa lakini hatuendani na slogan ya JF nadhani inasema "where we dare to talk openly"Ila hata majina yetu sio real
Kasoro mimi tu nadhani JF nzima ndo nina jina langu halisi zagarinojo
Ila kuna vibamia vingine vikorofi jamani kha😅😅😆😆😆😆
Hahahaha ,Rafiki bana ,eti atabadi ID ,wewe Rafiki ulibadili nn idWhere we dare kufanyaje!!!lakin sio sauti zidi kile humu.kuna mahali nilisoma umri wako ni miaka 19au 20 kama sijakosea sasa sijui ni kweli??
Kama ni kweli,relax jombaa kuna maisha bado hujapitia na hata hii ID yakosure utakuja kuibadili tu.so kuwa mpole
Hahahaha, tupe uzoefu RafikiIla kuna vibamia vingine vikorofi jamani kha
Sijawahi kuweka jina langu halisi humu rafiki...Hahahaha ,Rafiki bana ,eti atabadi ID ,wewe Rafiki ulibadili nn id
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅😅haya nawa miguu kaa mkao wa kusimuliwa..🧚♀️🥂
Ooh vzrSijawahi kuweka jina langu halisi humu rafiki...
Nilikuwa na jina la mwanzo nilipoangalia movie ya udaan nikapata jina la chakor nikatokea kulipenda nikaomba nibadilishiwe to Chakorii so since then sijawahi badili tena
Hapana siwezi kudanganya nina miaka 19 kweli I was born in 2001Where we dare kufanyaje!!!lakin sio sauti zidi kile humu.kuna mahali nilisoma umri wako ni miaka 19au 20 kama sijakosea sasa sijui ni kweli??
Kama ni kweli,relax jombaa kuna maisha bado hujapitia na hata hii ID yakosure utakuja kuibadili tu.so kuwa mpole
Safi.basi hebu kuwa mpole humu ndani endelea kujifunza kimya kimya.kuna vitu vingi mno namaanisha vingi mnooooo... huvijui.sawa kijana mdogo...tuliaHapana siwezi kudanganya nina miaka 19 kweli I was born in 2001
Na pia nikasema I'm school drop out siwezi kuona aibu kusema ukweli
Alafu nyie my sisters na wengine elders eti niwadanganye nitafaidika nini?
Najua I'm still growing up lakini kusema ukweli ni vizuri
Ntaendelea kujifunza mambo mengi from you my elders lakini na mimi maybe mtalearn chochote kutoka kwangu japokuwa I'm young