Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Eti vumbi moja hatari8 8 sijawahi kanyaga. Magari yangu nilikuwa napandia area C tu (ABC na first choice) nasikia kuna vumbi moja la hatari huko 8 8






Pabaya kama sabasaba
Eti vumbi moja hatari8 8 sijawahi kanyaga. Magari yangu nilikuwa napandia area C tu (ABC na first choice) nasikia kuna vumbi moja la hatari huko 8 8






Unakumbuka kama nakutafuta?Waliotafuna watakuwa wanakunywa njugu ya milele mi nilikuwa msomaji tu
Ule Uzi sjui ulipotelea wapi
Jamatinihii wapi?
Jamatini China au Dubai?Jamatini
Usitake kunambia hujapita hapo huu mwakaJamatini ndo pamekuwa hivyo![]()

Sijapita mama, nipe mwaliko basi.Usitake kunambia hujapita hapo huu mwaka![]()
Huku nasubiri mwaliko toka kwako mwenyejiSijapita mama, nipe mwaliko basi.
PoleHee
Nimepitwa Niko hapahapa![]()

Sijaingia mjini kitambo, mbona kama kumepooza sana. Kama kuna lockdown vile.