Woyooo notifications za JF zimeanza kuonekana kwa notifications bar kama zamani, wapi
Depal na team browser wenzie wenye gubu.
Mara ya mwisho kuonekana hivyo kwangu ilikuwa ni june mwaka jana,
Saint Anne naona mambo yameanza kuiva taratibu tu team browser watatuelewa.
Can't wait for mei mosi
Happy union's day everyone
View attachment 1430957View attachment 1430964