Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,349
- 176,148
How if utaondoa ngozi na mifupa yao then ukapika?Chemicals za kuwakuza hubaki kwenye bone marrow na ngozi... Kumbuka hawa kuku huitwa mazezeta yaani sio sharp kama wa kienyeji
Kwa sasa unaweza usione madhara but just take this piece of advice hao kuku si wazuri kiafya
Jr![]()





