[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani daaah those days acha tu[emoji134]
Usipoingia jf unajihisi kuumwa.
Hujachelewa Zoe
mambo tu yamebadilika kidogo
Ila karibu kwenye Great Big Family...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkwe acha kunisingizia jamani, sijapokea mahari yoyote hadi sasa. Nilikuwa nasubiri yako tu.Hahah...
Nifuraha sana kukuona
Mkwe ulikua unanichimba
Mikwara sana...
Parking hujaiweka vizuri mara
Unataka muamala usome na
pembeni huko nasikia umeshapokea mahari kwa njemba nyingine kama 3
Vuruguuu tupuuuu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaaaah!! Mkwe huaminiki wewe. Huchelewi kukimbia kabla haujatimiza hata kimoja hapo.Niletee Lazizi wangu...
Barafu wa moyo wangu
Mwaka huu nimekuja mazima
Mpaka July nimeshamaliza
Pete, SendOff, Ndoa na Honeymoon
Sent using Jamii Forums mobile app
Walionivutia kujiunga jf woote wamepotea siku hizi[emoji134][emoji134][emoji134]Shukrani kaka, lol siku nikiona JF haina kipya cha maana huwa napitia threads na comments zenu za zamani nabaki nacheka mwenyewe.
Walionivutia kujiunga jf woote wamepotea siku hizi[emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkwe wangu mswahili kuliko wooote[emoji134][emoji134]
Ukanifanya nikaandaa parking mwisho ikaota majani na kuwa kichaka. Sasa hivi nalima tu mbogamboga.
Heaven Sent ukuje mumeo kafufuka.
During Kikwete's moment
tumekula bata sana
Mke wangu alikua ni
Heaven Sent Mama ake alikua ni atoto japo nilikua na baba mkwe wengi mno atoto kila siku anasema huyu ndio baba mtoto. Ila yule muuza vifuniko vya utamu nadhani alikua baba mkwe halisi.
Mshenga alikua ni Raimundo na chawa wetu alikua ni Behaviourist mzee wa chura
It was a great experience,
Sasa muda umepita sielewi huyu Jael ndio atoto au Heaven Sent?
Ona leo tunakunywa K-Vant small bottle ya Tsh 4000/= tu!
Raimundo
Behaviourist
View attachment 1402223
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Vinywaji vya gharama meza ya sh 2000Tujisahaulishe kuhusu coronaView attachment 1400250
umetisha mzeiya, napenda picha napenda kuchora ila sijapata ona aina hii ya uchoraji
Gambe haichagui meza mkuu,popote sisi tunaweka mzigo mbavuni Ila ntamwambia mwenye pub abireshe mazingira(meza)
Siku hizi n kula kwa masihara yaani vurugu tupuNa atleast kipindi hicho watu wali kuwa wanaanzisha threads za maana na watu wanatoa comments za maana, siku hizi naona utoto mwingi na members wengi wa zamani wamepotea mmebaki ninyi wachache mnaoienzi JF.
Ila hawa watu duh post utafikiri sio wafrika wenzetu😂😂😂😂😂Haha hujanywa maji Kiduku Lilo hujameza mate Daktari wa Meno aka Mtanesco [emoji23][emoji23]