Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna mtu kaniuliza mbona hajawahi kuniona kanisani . Nikamjibu, hakuna namna ningekubali eti missus kapata mimba bila kuingiliana na mwanaume au kwa njia za kisayansi. Ile hadithi wanatuambia kwenye kile kitabu ilileta maana utotoni tu. Hiyo ni moja kati ya mengi yasiyoleta maana kwangu.

 
Nikipigaga mmeya nikaanza kumeditate kuhusu ule ujauzito nasema Mzungu alaaniwe milele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…