Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Kwani ulinipangia matumizi yapi?
Tutajadili sisi kwa sisi, hapa tutaharibu sherehe.
Kwani ulinipangia matumizi yapi?
Ooooo shemeji fanya tule ubwabwa
Kwani umerudi?
aah kwangu picha ndo kila kitu




Ati nikutandike kibao usinyanyue mkono!????Si tukipenda tunapenda ujue.
Ukaksi ni nje. Ndani tunakuwa mazoba haswa haswa waweza nitandika hata kibao na nisinyanyue mkono wangu







Hio muhimu kwa LeoKwani Leo unaenda?
Uzi wenyewe huu Ni sherehe tosha.Tutajadili sisi kwa sisi, hapa tutaharibu sherehe.
Naomba Leo usiende.Hio muhimu kwa Leo


Haiwezekani Mimi tangu asbh sijapitia nyuzi nyingine..
Nishafika mda nagonga zangu pool huku nikifyonza vibia vya kijani
Asaidie Nini?Ila jf hii...
Ee baba ulie juu saidia...
Unatengenezewa njia unashindwa kuendelea loh, btw I like shy guysKwa mtengeneza njia ha ha aa madomo zege tuna ta bu sana
Usijaribu kumchezea simba sharubu 😂😂😂😂😂Yesu wanguAti nikutandike kibao usinyanyue mkono!????
MUNGU wangu![]()
Ndo apo sasa kama nimeitoa Gugo.Haha hajakupenda huyo, inawezekana vipi apeperuke kisa mkono? Ameamini vipi, je kama umeitoa na wewe gugo 😂😂
Saint anne usitufanyie hivo
Yes nimerudi
Hahahaha kweli kitu ogUzuri mizigo hii inaogopwa na wanaume wengi hasa wasio na nguvu na wale team yangu so haina noma ila haizimi kuwa ni zigo nyama za kutosha kitu og