Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,952
..........Kabla ya mtanange mjukuu anakula kwanza chips alizonunua safarini kuja eneo la tukio,halafu sasa zipo kwenye jifuko la kitambaa.Dunia ikisimama tutashuka wengi sana kwa hali hiiView attachment 1307851
😁 Enheee... kama hivyo .
Nimeamka mkuuKuna inshu nimekutext
Tasavali naomba unijibu kabla mwakaa hauja isha
Cc Eli79 amkaaaa bwana usilale lale
Sent using Jamii Forums mobile app


naona vinono kijana 
Umenificha! Mungu anakuonayou are right nmechange jina from adorabella to aurora sijui umejuaje .
Sent using Jamii Forums mobile app


Sawa kabisa Aurora, mimi nimtaalam wa kuingia kwa wazíri, lazima niweke kumbukumhu sawa kabla ya kuzamia huko

Nimeamka mkuunaona vinono kijana
![]()

Sawa kabisa Aurora, mimi nimtaalam wa kuingia kwa wazíri, lazima niweke kumbukumhu sawa kabla ya kuzamia huko![]()
Ewaaa unanielewa vizuri sana


Nimetoa la moyoni jamaniiHahahahaha una vituko
Wow dats beautifulNimetoa la moyoni jamanii