Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,346
- 17,666
Nimependa huo mkwara kwamba dharau zako za muda mrefu ni dalili ya kwamba wewe siyo mwaminifu,angalia usije ukapewa punch siku za usoni.
Nimependa huo mkwara kwamba dharau zako za muda mrefu ni dalili ya kwamba wewe siyo mwaminifu,angalia usije ukapewa punch siku za usoni.
Picha imeandikwa I am Sorry..
Watu wana dhambi sana
.Hahahaha nikajua I am sorry nilicheka.Ni SONY Mkuu, Maana yake mpiga picha anatumia Camera ya Sony na hiyo Ndio watermark yake
.
Sent from my iPhone using JamiiForums









Ila jamani hiyo si I am sorry kabisa ??Ni SONY Mkuu, Maana yake mpiga picha anatumia Camera ya Sony na hiyo Ndio watermark yake
.
Sent from my iPhone using JamiiForums






Ila jamani hiyo si I am sorry kabisa ??
![]()


Hahahaha nikajua I am sorry nilicheka.
Nikasema hadi camera imeomba msamaha.
![]()
rangi kwenyw kucha hiyo hahahahahaThe shoes will tell you.
Sent from my iPhone using JamiiForums
rangi kwenyw kucha hiyo hahahahaha
Then let it go
Mane mchezaji anaelipwa ghali zaidi pale Liverpool, ila ni bahiri kwa vitu vidogodogo,angalia protector ya simu yake ya elfu kumi tu kakausha kubadiliView attachment 1307602
Huyu jamaa akitupwa kwenye ndege hafi,Pamba kali sana
Sent from my iPhone using JamiiForums


me sitaki kukumbuka bana
Ndiwooo