Selfika na JF: Snap it. Show it

hauwezi amini fb nimejaribu kuielewa nimeshindwa kabisa ninyi mnasema sijui mmeanza kuichukia kipindi hiki utoto umekuwa mwingi mimi sijawahi kuipenda tangu inaanzishwa,, nikinunua simu nikiikuta naidisable kabisa sitaki hata kuiona kwa apps.. mie niko zangu jf na ig tu
Dogo leo unaikana fesibuukuu kweli
wakati ww ndio ulikuwa mkali wao kwenye kupost picha zile umejibinua.


Leo umefunguliwa dunia huku kwa GT unamuona Mark takataka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…