Selfika na JF: Snap it. Show it

Umeanzaa, πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
😹😹😹 Breakfast chai ya saa tatu..!!

Wanatuchosha bana weeeh, mi watu tunaijua vyedi inatumalizia miti tu..!!

Nyoko nyoko nyingi oohh.! Sisi habari zetu hamuwezi kuzipata mpaka tuamue kuwapa..!! Mtsiewwww kwa habari gani??

Sisi habari zao tunazipata jumla jumla haya waje tuwape habari zao motomoto mubasharaaaaa..!! 😹😹😹

Uwe muuzaji JF hafu tusikukamate thubutuuuuuu..!! Wambea oyeeeeee
 
Last tuezz! 😘😘View attachment 3672262
😳😳😳
Nyie uduguuu hii ndo picha kali ya mwaka huu selfika iwekewe lamination na ibandikwe kwenye uzi..!! 😍😍😍😍😘😘😘

Hii rangi kaliii mpaka sio pouwaaa..!!
Mungu kakuumba na kakupa Uzuri juu.

Baba tramu ana haki ya kuchanganyikiwa sio kwa chuma hiki..!! 😍😘πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°
 
Mda wa kazii huu uduguu, em subirii baadae.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Uduguu sifa sasa, mie naenda zangu kwenye nyuzi za siasa, nikakwaruane na machawa wa veggies.
 
Uduguu sifa sasa, mie naenda zangu kwenye nyuzi za siasa, nikakwaruane na machawa wa veggies.
Kweli umenoga uduguu wangu..!!
Ngoja nipige issue moja nakuja huko, si unajua ukitoa umbea kitu kingine ninachokipenda siasa..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…