Selfika na JF: Snap it. Show it

Hadi chainizi duhhh!! Mie na kulima nazilima ndo mboga yangu kuu ya majani mbona balaa duhhh
Utasema tu na maumivu huwa yanahama tu mara mguu wa kulia kwenye goti mara kushoto kwenye dole gumba.Ila nakuhakikishia utayafata masharti yote na dawa utazitafuta.Maumivu yatakunyooosha.Pole.
 
Utasema tu na maumivu huwa yanahama tu mara mguu wa kulia kwenye goti mara kushoto kwenye dole gumba.Ila nakuhakikishia utayafata masharti yote na dawa utazitafuta.Maumivu yatakunyooosha.Pole.
Wacha nijikontrol asee ni hatari kwa afya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…