Umekunywa vitu gani mchana huu? 😹😹Lamo si unajua kama pesa mimi sio shida znagu😁, nyie ni wangu wote ebu fanyeni kunishtua mlewe chapuu😅
Ankal ifike muda unipe badge kwenye hili uzi lako 😹😹😹
Lamo nilini nilisha acha kutoa pesaUmekunywa vitu gani mchana huu? 😹😹
Tunakuwaje wote wako? Utatuweza kweli?
Sema tukupe account uweke pesa na sie tulewe..!
Wewe tena huyo ndio mama angu?
Imeisha iyo ankalAnkal ifike muda unipe badge kwenye hili uzi lako 😹😹😹
Mana hivi kuna memba anapitia hekaheka km mimi humu? 😹
Wanagombana wengine na mabwana zao ban napewa mimi 😹
Nikiselfika natafutiwa app za kuangalia pic zangu ili wanijue khaaaa..!!
Nikigeuka huku pawa mabula naye anataka nichukiane na watu bila sababu kisa yeye ana kisirani chake..!! 😹😹
Hebu tambika tena na uumwagie makombe na uufushe uzi huu..!!
Sema jambo.
Sina la kusemaSema jambo.
Ngoja waje waliopo dodoma mahiJamani wapi Dodoma wanauza urojo?
Hujapata adi leo???Jamani wapi Dodoma wanauza urojo?
Kuna sehemu nilikua nakunywa wamefungaNgoja waje waliopo dodoma mahi
Ndio! Nimetafuta mtandaoni sehemu za Dom hamna, mpaka namiss Dar.Hujapata adi leo???