Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,108
- 41,766
πππSasa hilo balaa humu analo Makaveli na Ambition kazi tunayo Wog πΉπΉ
Hilo halijawahi kuwa tatizo kwangu.. πBasi kacheze unapochezaga
PichaHukuona nini?
πHilo halijawahi kuwa tatizo kwangu.. π
Wapo wanaopenda wafupi usiogopeHalafu mie na ufupi wangu,ni selfike?
Hata mimi sikuona yako mkuuPicha
Hapo sawaNiitoleee wapi sasa ππ
Bora ningekuacha uamini ninayoπHapo sawa
Polisi hawakukubali kirahisi mie nimefanya..Nilipata msala, nikamletea mtu ukauzu, michezo ya kiSHOKOSHUGI, michezo ya kiYAKUZA.Mimi hata polisi tu hawakubali kama nimepiga mpiga debe iwe shuleπ€£
Maka niamini mimi wewe ni mkaka mzuri sana una vitu zangu, sijui kwann sijakusikiliza pm nikakujibu shit πWe wanaokuita shemeji wakae nawe kwa makini sana maana sio kwa chumvi hizi,
Nyie ndio mnakuwa mnatwambia shemeji huyu hapindui kwako, kumbe umetoka kumsindikiza kwa mwingine π
Alikua naked kumbeeMaka niamini mimi wewe ni mkaka mzuri sana una vitu zangu, sijui kwann sijakusikiliza pm nikakujibu shit π
Yani wewe ni wale wakaka tuliokuwa tunarusha ngumi skonga kukugombania..! πΉπΉπΉ
Halafu wewe au bhasiiiβ¦β¦!!
Em tupia naked nyingine bhana..!!
Namna makaveli 2pac wetu wa JF π
Wewe ni mimi!Polisi hawakukubali kirahisi mie nimefanya..
Tuseme inshaallah πSawa na pia watu wamepua nitaona mimi tu
Weka basi tumuone shem Wog ππππ
Baby wangu analo hilo balaa
Weka now bana πTuonane baadae
AmeenTuseme inshaallah π
Mmmh sidhaniWapo wanaopenda wafupi usiogope
Kwenye gari letu lile siti yako ni ile ileWewe ni mimi!
Kuwa na imani na Wazee π€Mzee mjanja mjanja mi sitaki