Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 7,015
- 13,351
Vingi tu, inategemea ni wapi na wakati gani πNini hicho unaweza kunipa cha bure
We wanaokuita shemeji wakae nawe kwa makini sana maana sio kwa chumvi hizi,Pic yako nimesave na ya Ambition nimesave. Nataka niwaweke kwenye album yangu wakaka wazuri wa mwaka wa mbele..!!
Yani km ndinga basi Maybach πΉ
Aisee πipi unayo ndiyo ile anayo DcTulia tutagawana hela magical girl π€£
Ila ShemVingi tu, inategemea ni wapi na wakati gani π
Vyote bila pesa ni bureπ€£π€£π€£π€£
Wale ambao tunapenda tall , rangi fulani halafu ha some sdπππππmniache tafadhali
Niitoleee wapi sasa ππAisee πipi unayo ndiyo ile anayo Dc
Halafu mie na ufupi wangu,ni selfike?π€£π€£π€£π€£
Wale ambao tunapenda tall , rangi fulani halafu ha some sdπππππmniache tafadhali
πΉπΉπΉ Wewe bhana lizuriii sijaona aiseee..!!Hivi LAMOMY we ni mtu wa UVINZA mbona unazidisha sana chumvi? ππ€£
Ile kazi ya uwinga veepπΉπΉπΉ Wewe bhana lizuriii sijaona aiseee..!!
Hapa nilitaka kupika mpk nimeahirisha niwaone wakaka wazuri tu leo..!!
Nyie wakaka mjengewe sanamu πΉAcha kunijaza,
Ushamalizana na makaveli10 sasa umeamia kwangu?
ππππndo zake huyu kuzidisha chumviHivi LAMOMY we ni mtu wa UVINZA mbona unazidisha sana chumvi? ππ€£
Ilimchukua mpiga picha, kupiga opcha elfu 1, kupata picha ile 1.Weka picha tuone kama anadanganya
πΉπΉπΉ Hapana ki vibrate kwa msisimko wa huyo gentleman..!!Hee unataka kiharage kipasuke au π
Hakika katika hili, ajengewe sanamu la chumvi pale uvinza π€£ππππndo zake huyu kuzidisha chumvi
Halafu mi nilipitwa jmn sikuonaAcha kunijaza,
Ushamalizana na makaveli10 sasa umeamia kwangu?
πΉπΉ Msichana naona unataka kumfungulia code naniii kwa nguvu..!!Ile kazi ya uwinga veep
Sawa na pia watu wamepua nitaona mimi tuIlimchukua mpiga picha, kupiga opcha elfu 1, kupata picha ile 1.
Ngoja niongee na MPICHA PIGA.π€£
Pesa mhimuVyote bila pesa ni bure
Fanya kweli sasaπΉπΉπΉ Hapana ki vibrate kwa msisimko wa huyo gentleman..!!
Hukuona nini?Halafu mi nilipitwa jmn sikuona