Selfika na JF: Snap it. Show it

View attachment 3602221

Sikufikii wewe maji ya kwanza, niko nasubiri kichambo cha kukosa nuru ๐Ÿ˜‚ Coca kasema sisi vyeusi mangala ni machaguo ya pili huwa tunaonewa huruma tu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Kajukuu kangu, anzeni tu kuniita bibi ๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Uduguu wangu mzoee tu!
Wewe sio mweusi una rangi ya chenza bhana..!!

Huyo mjukuu wako wapi mfyuuu..!!
Unatufanya watoto sasa..!! Kwa uzee gani ulionao? ๐Ÿ˜น
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Uduguu wangu mzoee tu!
Wewe sio mweusi una rangi ya chenza bhana..!!

Huyo mjukuu wako wapi mfyuuu..!!
Unatufanya watoto sasa..!! Kwa uzee gani ulionao? ๐Ÿ˜น
Ndio kusema ni katoto kake๐Ÿซฃ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Igweeeeeeeee
Una sura nzuri mashallah ๐Ÿคฉ

Umeolewa? Namuulizia kaka yangu apate jiko hili chap..!!

Sema sura yako haiendani na maandishi yako. Sura ya upole maneno sasa ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Aloo sijui why naambiwa sifanani na maneno yangu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sasa ukisikia sauti utacheka hoii๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ.
Mdomo wangu ni hapa nyuma ya keyboard live hamna kitu
 
Hehehee kunanini jamani uwii nacheka huku naogopa๐Ÿคก๐Ÿคก

leo dada nikuone dadaake
win-one nakudai
Binti wa zamani mamaake sijakuona kitambo๐Ÿฅฑ
Wewe unatokea sherehe imeisha watu ndiyo tunakunja matent tuondoke, umechelewa leo watu kibao wameselfika humu.

Kuna wadada na wakaka ๐Ÿ”ฅ ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ acha tu!
 
Wewe unatokea sherehe imeisha watu ndiyo tunakunja matent tuondoke, umechelewa leo watu kibao wameselfika humu.

Kuna wadada na wakaka ๐Ÿ”ฅ ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ acha tu!
Kama Kuna mkaka wa haja anayeeleweka namuomba chocho, hawa wadada wapite tu, apa tu nishalewa kimbwa nikikaa humu ntalimana block na wapumbavu bure!

Hebu njoo kwanza cheusi mangala mwenzetu๐Ÿคญ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ