win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 4,677
- 14,845
hey unaendeleajeKujazana kwenye madaraja ni Tz nzima.
Nenda mbezi, kimara, manzese uone watu wanavyojazana kwenye madaraja siku za sikukuu
hey unaendeleajeKujazana kwenye madaraja ni Tz nzima.
Nenda mbezi, kimara, manzese uone watu wanavyojazana kwenye madaraja siku za sikukuu
Nywanoko!Analog tu naona ikiwa skukuu mnajazana daraja jipya pale
Wasukuma wamezidi lile ni jiji lakini bado sanaKujazana kwenye madaraja ni Tz nzima.
Nenda mbezi, kimara, manzese uone watu wanavyojazana kwenye madaraja siku za sikukuu
Nawewe pia ivyo ivyoNywanoko!
mi mzima kabisaNiko poa kabisa,
Wew mzma?
Tombin’ebhe!Nawewe pia ivyo ivyo
PoyeeewNimepitwa😔
Kwako pia hivi bestie ako yupo wapi alete uzi tumalizie mshaharaTombin’ebhe!
Nafurahi pia winmi mzima kabisa
nafurahi kuskia uko poa
Besti yupi?Kwako pia hivi bestie ako yupo wapi alete uzi tumalizie mshahara
Ule mshangazi wa zamaniBesti yupi?