Uliona vile boss ametoa mchango wake ๐น๐น๐น[emoji23][emoji23][emoji23] nilishapitaa mbonaa ktk uzi huo.
๐ Bora uende Barca hawa Madrid ndo wabovu kulko hata the Mandem wakoLabda nihamie Madrid.. mliobaki wote mkafie mbele ๐๐
Janja kuwa na adabu, majina mazito hayo sio kutaja kiwakiSawa kijukuu wa sabena.
Mkuu unazunguzmia Madrid kwenda misimu miwili bila ubingwa wa ligi na UEFA, vipi kuhusu manyumbu?Ivi kumbe mashabiki wa madrid mpo๐ ๐ msimu wa pili kapa mtoen Mbappe kafara
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu unazunguzmia Madrid kwenda misimu miwili bila ubingwa wa ligi na UEFA, vipi kuhusu manyumbu?
Aliyekuwa na miaka 10 mara ya mwisho manyu kuchukua ubingwa sasahivi nae anasomesha [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtafute kijanaSijui anatumia jina gani sasahivi hiyo alibadilisha kitambo ๐
Toka ๐Mtafute kijana
Amri sio ombi๐
Kijana najua unachopitia๐๐Toka ๐
Achana na mimi ๐๐Kijana najua unachopitia๐๐
Sio bure๐๐๐พ
Tutume pesa maana ttcl yetu inasoma au wataka coin๐๐Achana na mimi ๐๐
Mjanja wewe ๐๐Tutume pesa maana ttcl yetu inasoma au wataka coin๐๐
Funguka kijana๐Mjanja wewe ๐๐
Nipo likizo fupi ๐Funguka kijana๐