Selfika na JF: Snap it. Show it

Njoo mlango mmoja hapa dogo uniungishe Lamomy alinipa mtaji wa kuuza viatu ili niache kushangaa shangaa.
😹😹😹 Million Mia zangu uzifanyie kazi ole wako uhonge mademu humu halafu waje kuniletea kibesi.. nachapa risasi wote..!! 🀣😹😹

Chino Una tabia mbaya yani hata kunishtua mshkaji wangu na unanijua ninavyopenda miumbea..!!

Kuna pics zimetumwa naziomba pm chap 🀣
 
Uwanja uwe safi leo saa 3 kuna pambano, hakuna kuita mods wanoko tunawajua..!!

Wenye picha zenu tulieni nazo mtaendelea kesho..!! Leo uwanja uko busy..!!

Hakikisha una popcorn na utulie kushuhudia which is which.. SAWASAWA? 😹😹

Nuzulati wifi njoo kijiwe kina uzinduzi huku
 
Kuna nini tena πŸ˜… hamuachiii🀣🀣
 
 
Tulia sasa utaanza kuharibu ankal
 
Wakizingua huku tunahamia uko 😹😹
 
Ila ni mbea wewe πŸ˜‚ πŸ˜‚ afisa masijala nipo ready!
Katupa ahadi kwamba yeye sio mnyonge km tunavyomuona ana mafile yote anataka wagawane urithi kila mmoja afe kivyake..!!

Na sisi tuko hapa ili tujue nani mkorofi tumkanye km wazee wa baraza 🀣😹😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…