Selfika na JF: Snap it. Show it

Kandete karibu na Kyela?
Aiseee uliwezaje kuishi kule?
Nilienda kwenye msiba juzi kati, kuna mwenzetu alifiwa na mdogo wake tukasafirisha kwao kule…!!

Ila chino una fix nyingi banaa 😹😹
 
Hii na ihifadhiii Mimi mwaka huu nataka kuchakata 10pc ingekua vyema ukatupa mbinu.

Mpaka Sasa nipo kwenye 1pc NIMEBAKIZA 9pc
Unaacha kujali afya yako na misaada iliyositishwa huko WHO ndo kwanza unataka kudimbua yutiayi sugu na VVU zilipolala..!! 😹😹😹

Tupo hapa tunakusubiri ukiwaita JF doctors wakusaidie dawa na wapambe hatukosi wa kukuzidishia stress..!! 🀣😹😹
 
Kandete karibu na Kyela?
Aiseee uliwezaje kuishi kule?
Nilienda kwenye msiba juzi kati, kuna mwenzetu alifiwa na mdogo wake tukasafirisha kwao kule…!!

Ila chino una fix nyingi banaa 😹😹
Iyo iyo ya kuelekea kyela.

U can imagine miaka 2009_2011. Ilikuaje.( Afu Kule kulinikomaza sana ndio mana siku hizi chaka lolote na survive.)

Hahaha fix Tena!!
Hapo sijakuelezea nilivyopokea kichapo kikali nusu ya kifo Toka kwa wananchi wenye hasira Kali.( Siku ntaleta history zangu jf story sema sio mwandoshi mzuri)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…