Hilo group limetokana na jf?
Nikiri tu kuwa huu uzi wako umenihamasisha sema tu ndio hivyo tena, hawa ndugu zangu ma-bachelor wasipoufanyia kazi huu uzi basi tena, there's no other way to help them.
Kuna wadada kwa "mwandiko na muonekano" tu una-fall kizembe tu na kama ni kujuta si baadae huko!!