Selfika na JF: Snap it. Show it

Anza na na kibani changu? Afu no si unayo? Em sababisha bas leo, Dear P.
Namba yako nliifuta baada ya kupata taarifa tunakaguliwa simu zetu. Nlihofia usije nawewe ukakamatwa maana wewe ndio muhamasishaji mkuu wa maandamano. πŸ˜… ngoja niangalie namna nikuunge hata bando la mwezi mzima.
 
Namba yako nliifuta baada ya kupata taarifa tunakaguliwa simu zetu. Nlihofia usije nawewe ukakamatwa maana wewe ndio muhamasishaji mkuu wa maandamano. πŸ˜… ngoja niangalie namna nikuunge hata bando la mwezi mzima.
P. Mbna mie nilikuamini na nkakupa? Ko wee ni muoga hivyoo?
Sasa D9 utatoka kweliii? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Haya fanya hivyo Dear ake P. Mwezi mzma naserereka bureee. Woiiiiih
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…