Selfika na JF: Snap it. Show it

Namba yako nliifuta baada ya kupata taarifa tunakaguliwa simu zetu. Nlihofia usije nawewe ukakamatwa maana wewe ndio muhamasishaji mkuu wa maandamano. πŸ˜… ngoja niangalie namna nikuunge hata bando la mwezi mzima.
P. Mbna mie nilikuamini na nkakupa? Ko wee ni muoga hivyoo?
Sasa D9 utatoka kweliii? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Haya fanya hivyo Dear ake P. Mwezi mzma naserereka bureee. Woiiiiih
 
P. Mbna mie nilikuamini na nkakupa? Ko wee ni muoga hivyoo?
Sasa D9 utatoka kweliii? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Haya fanya hivyo Dear ake P. Mwezi mzma naserereka bureee. Woiiiiih
D9 sitoki aisee maana sitaki kukuacha mwenyewe.
 
Niko serious we niambie kama upo free maana kesho alfajiri naanza safari kutoka huku mbamba bay. Nikupitie wapi?
Mambo ya PM hayo P, utakuja utekwee wee shauri yakoo.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nasubiri bundle la mwezi mie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…