Wahenga walionaga mbali sana
trust me!!
Mbaya zaidi unatemwa alafu Bado unarushwa roho!! hahaha alinipagawisha sana.
Sababu ya Mimi kua na dogo alimpeleka sehemu nyingine kulelewa Ili Aishi na jamaa yake vizuri. Huko ndiko nilipomfuata dogo na kuanza kuishi nae.