Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 20,017
- 41,381
Kumbe na wewe ni mdau min -me , lete daftarii letuu..Muache atoe hela kwanza
Tutajipatia hela ya Bia jioni hiiπππ
HayaKumbe na wewe ni mdau min -me , lete daftarii letuu..
Mupe MURUKEEEE mupe MURUKEEEE mupe MURUKEEEE mupe MURUKEEEE π π
Unaselfika saa ngapi?Huyo mbona kitambo bwashee
Badae kidogoUnaselfika saa ngapi?
Zenji hiyo sijui
Hapana mkuu songosongo!!Zenji hiyo sijui
Mwache ajichanganye.umeamini mimi ni mgeni si ndioπ€π
Poapoa mkali.Hapana mkuu songosongo!!
ajichanganye kwenye niniMwache ajichanganye.
Ibu picha yake sikusave ila ni mwenyeji selfika na JF kwa ujumla πΉπΉπΉππππππππ½ππ½ππ½ππ½
Tiaraei wanakuwaga wapuuzi muda mwingine.
Usichoke nkamu wangu
Tubadilishane
Nirushie ya Ibu, nakupa ya Dokta.
Mi sio mtoto πΉmuulize atakwambia
πΉπΉπΉNgoja nikupe picha Nkamu
Tiaraei uhangaike,
Kariakoo uhangaike
Na hapa selfie uhangaike?
Usihangaikeπππππ½ππ½ππ½
Umeshindwa kumtambua πΉπΉNgoja kwanza nipitie kumbukumbu zanguπππππππ
Nikumbushe NkamuUmeshindwa kumtambua πΉπΉ
Mwanangu sana tatizo πΉπΉπ€£Nikumbushe Nkamu
Uzee unaninyemelea
Nitajie tu nkamuMwanangu sana tatizo πΉπΉπ€£
πππππΉπΉπΉ
TRA wapuuzi sana, wanakukadilia kodi mpk unajiuliza nauza ndege??
Mi nawachamba mpk wanaona aibu wanapunguza..!!
πΉπΉπΉNitajie tu nkamu
Mimi ndugu yako