Salamaleko sheikh ,nimeona kule yule mtoto anayesema pombe sio nzuri nimeshangaa maana nimeshindwa kujibu niko kwenye kampeni hapa namsubiri muenezi wa wilaya ya mbeya vijijini ameahidi Leo tutakesha Kaka .
Huyo muoe naomba kuwa mshenga au kuwa mchoma ubani kikubwa chai na maandazi havitatushinda .
Wabillah wataufiq