Selfika na JF: Snap it. Show it

mdogo wangu hawez kusheaa na ulivyo na sura ya upole atakutesa sameja wangu🀣🀣🀣
Miaka ya ivii karibuni ndio nimechangamka changamka... Ujue Mimi na bro min -me , tunakunywa vinywaji changamshii πŸ₯ƒ sikuizi sura ya upole inapungua pungua😊😊😊

Indeed watu wengi husema Nina sura ya upole..sijui kwa nini unaweza kuelezea
 
unaonekana hata kuongea nawatu ni kazi🀣🀣
 
"ukitaka kujua tabia yako muulize jirani maana nakufaham zaidi ya wew unavyo jifaham"πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
wew utajiona wa kawaid
Haaahaa πŸ˜‚ 😁 na sura ya upole lakini nimechangamka nipo sharp πŸͺ’ πŸͺ’.

Yesi watu wengi husema Mimi ni good behave personnel na hata nimewai kusamehewa shuleni adhabu na walimu maana tulipo angaliana wakasema sina hatia 🀣🀣🀣
 
nyie huwa ni wabaya sana "silent killer " πŸ˜…πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…