Lamomy Kwenye pita pita zangu leo si nakakutania na mtoto wa ki Kinga bana namba E safi kabisa. Hahaha nikacheka sana nikasema Mungu kaamua kusikia kilio Cha chino na hatimaye kamleta cute live.
Lamomy Kwenye pita pita zangu leo si nakakutania na mtoto wa ki Kinga bana namba E safi kabisa. Hahaha nikacheka sana nikasema Mungu kaamua kusikia kilio Cha chino na hatimaye kamleta cute live.
Cha kufurahisha zaidi nilikua nimetinga Uzi wa mnyama huu mpya. Akiniambia jezi zenu safari hii nzuri nikamuambie we sio mnyama kwani akaniambia aku yeye ni uto haha nikamchombeza na ulaya akasema washika mtutu wa London.
Cha kufurahisha zaidi nilikua nimetinga Uzi wa mnyama huu mpya. Akiniambia jezi zenu safari hii nzuri nikamuambie we sio mnyama kwani akaniambia aku yeye ni uto haha nikamchombeza na ulaya akasema washika mtutu wa London.