Si halalishi kabisaa tena nakemea
Ila Sisi wanaume bwana yaan tukiona mkia umenona ujue shetani lazima atuzidi ujanja tunaanguka katika dhambi
Hata maandiko matakatifu yanakubaliana na Mimi, isipokuwa nyinyi hapo Kwa vile farao amefanya moyo yenu kuwa migumu
Ila mtusameee tuu