Selfika na JF: Snap it. Show it

'nitukukaribisha muno' ndio tafsiri yake.

Hahaha! Ndio mana chino Bado sijajipata. masharti ya kutafuna dada siyawezi.
Thubutuu..!!
Mi sio mtoto ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Wewe na dadaako iko jambo..!!

Ndiomana wifi kisebengo kumbe mnanichiti wajinga nyie..!! ๐Ÿคฃ
 
Dr. Mariposa nikuchekeshe ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Jana nilienda live band, sasa bana mizuka nikajikuta natunza napaishwa pale Le madame bosslady Lamomy..!!

Ghafla nikapata machawa, saa ngapi nisimtongoze demu mmoja ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Nikapiga na vitraco vyake akajua mi lesbian, acha anigande ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Nyie mipombe sio mizuri unaweza kufanya vitu vya ajabu halafu ukajuta ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
Thubutuu..!!
Mi sio mtoto ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Wewe na dadaako iko jambo..!!

Ndiomana wifi kisebengo kumbe mnanichiti wajinga nyie..!! ๐Ÿคฃ
Sehemu zote Usha flashig.

Ila kwenye kwenye ukoo wa chino una kaza.

Embu acha kukaza tuenjoy maisha.
 
Nipe namb yake
 
sumbai nipeleke jicho la tatu kwa chief.

Si umeona nayopitia.
 
sumbai nipeleke jicho la tatu kwa chief.

Si umeona nayopitia.
Pesa plus pombe ni ushetani, ujue nimeamka ndo najiuliza hivi nilikua naenda kufanya nini??

Halafu yule demu ananiletea mapozi kabisa, sa ningemfanya nini jamani?!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Yeye mwenyewe alishangaa demu km mimi wa kukimbiliwa na mamen namfata yeye. Pombe hizi lol..!!
 
Hahaha
Usiniambie ulimbambia kisawa sawa
Nawe ukawa unamgeuza geuza. Unamkadiria.

Lini unanipeleka kwa chief?
Hata nikizipata chino ntaanzia kukukimbia wapi mtoto ulivyosimamia ukucha
 
Hahaha
Usiniambie ulimbambia kisawa sawa
Nawe ukawa unamgeuza geuza. Unamkadiria.

Lini unanipeleka kwa chief?
Hata nikizipata chino ntaanzia kukukimbia wapi mtoto ulivyosimamia ukucha
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Unajua walikua wananipa sifa za kijinga na mimi nikajikuta hakuna mwanaume wa kunimudu nikajikuta naweza kufanya lolote ndo nikamchombeza huyo demu..!!!

Ila mademu njaa sana aloo ๐Ÿคฃ
Nimeamini pesa inaweza kufanya lolote aiseee..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ