Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,097 Jul 12, 2025 #398,321 Mwachiluwi said: jiko lime pata mpishi usiache kupiga picha tuone Click to expand... πΉπΉπΉ Mnicheke thubutu..!!
Mwachiluwi said: jiko lime pata mpishi usiache kupiga picha tuone Click to expand... πΉπΉπΉ Mnicheke thubutu..!!
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Jul 12, 2025 #398,322 Lamomy said: πΉπΉπΉ Mnicheke thubutu..!! Click to expand... Shida ujiamini ππ
Binti wa zamani Platinum Member Joined Nov 19, 2011 Posts 11,902 Reaction score 27,646 Jul 12, 2025 #398,323 Mwachiluwi said: Selfika mshangazi π Click to expand... Nina jambo na wewe; jana si nikajaribu kupika lile pilau lako π
Mwachiluwi said: Selfika mshangazi π Click to expand... Nina jambo na wewe; jana si nikajaribu kupika lile pilau lako π
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,097 Jul 12, 2025 #398,324 Mwachiluwi said: Shida ujiamini ππ Click to expand... πΉπΉπΉ Mbwa tu niliwapikia chakula kibichi chupuchupu waningβate..!! Ndo nilete huku kwa wajuaji washinde wananicheka hapaaaanaa..!! π€£
Mwachiluwi said: Shida ujiamini ππ Click to expand... πΉπΉπΉ Mbwa tu niliwapikia chakula kibichi chupuchupu waningβate..!! Ndo nilete huku kwa wajuaji washinde wananicheka hapaaaanaa..!! π€£
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Jul 12, 2025 #398,325 Binti wa zamani said: Nina jambo na wewe; jana si nikajaribu kupika lile pilau lako π Click to expand... Jambo gani zuri bila shaka π Pilau likawaje?
Binti wa zamani said: Nina jambo na wewe; jana si nikajaribu kupika lile pilau lako π Click to expand... Jambo gani zuri bila shaka π Pilau likawaje?
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Jul 12, 2025 #398,326 Lamomy said: πΉπΉπΉ Mbwa tu niliwapikia chakula kibichi chupuchupu waningβate..!! Ndo nilete huku kwa wajuaji washinde wananicheka hapaaaanaa..!! π€£ Click to expand... Na ndio itakuwa fimbo yako sema nini nime penda jiko lako safi af kubwaaa kabisa mkinga wa mbweni mwenye gorofa lake
Lamomy said: πΉπΉπΉ Mbwa tu niliwapikia chakula kibichi chupuchupu waningβate..!! Ndo nilete huku kwa wajuaji washinde wananicheka hapaaaanaa..!! π€£ Click to expand... Na ndio itakuwa fimbo yako sema nini nime penda jiko lako safi af kubwaaa kabisa mkinga wa mbweni mwenye gorofa lake
Binti wa zamani Platinum Member Joined Nov 19, 2011 Posts 11,902 Reaction score 27,646 Jul 12, 2025 #398,327 Mwachiluwi said: Pilau likawaje? Click to expand... Pishi gumu ila nilitoboa. Nilivyoanza nilikua nafikiria kitatoka kitu au kituko π€£π€£
Mwachiluwi said: Pilau likawaje? Click to expand... Pishi gumu ila nilitoboa. Nilivyoanza nilikua nafikiria kitatoka kitu au kituko π€£π€£
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Jul 12, 2025 #398,328 Binti wa zamani said: Pishi gumu ila nilitoboa. Nilivyoanza nilikua nafikiria kitatoka kitu au kituko π€£π€£ View attachment 3402961 Click to expand... Napenda viazi sana sasa mbona hukunipa mwaliko
Binti wa zamani said: Pishi gumu ila nilitoboa. Nilivyoanza nilikua nafikiria kitatoka kitu au kituko π€£π€£ View attachment 3402961 Click to expand... Napenda viazi sana sasa mbona hukunipa mwaliko
Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 35,667 Reaction score 70,303 Jul 12, 2025 #398,329 Lamomy said: πΉπΉπΉ Kuku walileta? Hapa wasubiri ugali na kauzu..!! Click to expand... WW mwenyewe kauzu....πππ
Lamomy said: πΉπΉπΉ Kuku walileta? Hapa wasubiri ugali na kauzu..!! Click to expand... WW mwenyewe kauzu....πππ
Binti wa zamani Platinum Member Joined Nov 19, 2011 Posts 11,902 Reaction score 27,646 Jul 12, 2025 #398,330 Mwachiluwi said: Napenda viazi sana sasa mbona hukunipa mwaliko Click to expand... Sasa si ilikua pishi la majaribio kwanza, ila kitu kilitoka safi. Next time nikipika lazima mwalimu uje uonje.
Mwachiluwi said: Napenda viazi sana sasa mbona hukunipa mwaliko Click to expand... Sasa si ilikua pishi la majaribio kwanza, ila kitu kilitoka safi. Next time nikipika lazima mwalimu uje uonje.
Intelligent businessman JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 44,466 Reaction score 96,893 Jul 12, 2025 #398,331 Binti wa zamani said: Sasa si ilikua pishi la majaribio kwanza, ila kitu kilitoka safi. View attachment 3402971 View attachment 3402972 Click to expand... Hizi ndio starehe zangu, na ndizo zita fanya nipeleke mahari ukweni kwa shangazi yako
Binti wa zamani said: Sasa si ilikua pishi la majaribio kwanza, ila kitu kilitoka safi. View attachment 3402971 View attachment 3402972 Click to expand... Hizi ndio starehe zangu, na ndizo zita fanya nipeleke mahari ukweni kwa shangazi yako
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Jul 12, 2025 #398,332 Binti wa zamani said: Sasa si ilikua pishi la majaribio kwanza, ila kitu kilitoka safi. Next time nikipika lazima mwalimu uje uonje. View attachment 3402971 View attachment 3402972 Click to expand... Chakula kinaonekana kizuri sana sasa panga siku nije nile
Binti wa zamani said: Sasa si ilikua pishi la majaribio kwanza, ila kitu kilitoka safi. Next time nikipika lazima mwalimu uje uonje. View attachment 3402971 View attachment 3402972 Click to expand... Chakula kinaonekana kizuri sana sasa panga siku nije nile
bonjov JF-Expert Member Joined Mar 16, 2015 Posts 1,406 Reaction score 3,105 Jul 12, 2025 #398,333 Lamomy said: πΉπΉπ€£π€£ Leo ndo leo watajua hawajui..!! Naset mitambo kwanza sijui nianze na nini?? π€£ Click to expand... Dalili za pilau bubu hizi π
Lamomy said: πΉπΉπ€£π€£ Leo ndo leo watajua hawajui..!! Naset mitambo kwanza sijui nianze na nini?? π€£ Click to expand... Dalili za pilau bubu hizi π
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,097 Jul 12, 2025 #398,334 Mwachiluwi said: Na ndio itakuwa fimbo yako sema nini nime penda jiko lako safi af kubwaaa kabisa mkinga wa mbweni mwenye gorofa lake Click to expand... πΉπΉπΉ Ndugu yangu ghorofa nilitoe wapi nimepanga bonyokwa chumba cha giza hapa..!!
Mwachiluwi said: Na ndio itakuwa fimbo yako sema nini nime penda jiko lako safi af kubwaaa kabisa mkinga wa mbweni mwenye gorofa lake Click to expand... πΉπΉπΉ Ndugu yangu ghorofa nilitoe wapi nimepanga bonyokwa chumba cha giza hapa..!!
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,097 Jul 12, 2025 #398,335 Kalpana said: WW mwenyewe kauzu....πππ Click to expand... Imagine sasa huo msosi utakuwaje? πΉπΉ
Kalpana said: WW mwenyewe kauzu....πππ Click to expand... Imagine sasa huo msosi utakuwaje? πΉπΉ
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Jul 12, 2025 #398,336 Lamomy said: πΉπΉπΉ Ndugu yangu ghorofa nilitoe wapi nimepanga bonyokwa chumba cha giza hapa..!! Click to expand... Acha mwanamke wa maji ya kwanza kabisa una onekana
Lamomy said: πΉπΉπΉ Ndugu yangu ghorofa nilitoe wapi nimepanga bonyokwa chumba cha giza hapa..!! Click to expand... Acha mwanamke wa maji ya kwanza kabisa una onekana
Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 36,276 Reaction score 87,097 Jul 12, 2025 #398,337 bonjov said: Dalili za pilau bubu hizi π Click to expand... πΉπΉ Halafu kweli sijui nimchukue papi nimchinje anogeshe pilau..!! Sisi watu wa Iringa na Njombe kula mbwa sio shida zetu..!! π€£
bonjov said: Dalili za pilau bubu hizi π Click to expand... πΉπΉ Halafu kweli sijui nimchukue papi nimchinje anogeshe pilau..!! Sisi watu wa Iringa na Njombe kula mbwa sio shida zetu..!! π€£
Binti wa zamani Platinum Member Joined Nov 19, 2011 Posts 11,902 Reaction score 27,646 Jul 12, 2025 #398,338 Intelligent businessman said: Hizi ndio starehe zangu, na ndizo zita fanya nipeleke mahari ukweni kwa shangazi yako Click to expand... Haa haa, utaikacha team kataa ndoa π Imagine sasa kupika hata siyo my best skill set π€
Intelligent businessman said: Hizi ndio starehe zangu, na ndizo zita fanya nipeleke mahari ukweni kwa shangazi yako Click to expand... Haa haa, utaikacha team kataa ndoa π Imagine sasa kupika hata siyo my best skill set π€
Binti wa zamani Platinum Member Joined Nov 19, 2011 Posts 11,902 Reaction score 27,646 Jul 12, 2025 #398,339 Mwachiluwi said: Chakula kinaonekana kizuri sana sasa panga siku nije nile Click to expand... Limeisha hilo ππ
Mwachiluwi said: Chakula kinaonekana kizuri sana sasa panga siku nije nile Click to expand... Limeisha hilo ππ
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Jul 12, 2025 #398,340 Binti wa zamani said: Limeisha hilo ππ Click to expand... Location mapema tu