haha! shisha walikuwa wanaongeza vitu vyao, plus maji ... aiseee, ila sasa hivi tumebakiza maji, ile unayachapaa kama hujazima, mida ya kajua unawaambia wakuwekee kakiti juani huku unamalizia chupa zilizobaki, mda mwingine ndio unalala na hapo hapo
haha! shisha walikuwa wanaongeza vitu vyao, plus maji ... aiseee, ila sasa hivi tumebakiza maji, ile unayachapaa kama hujazima, mida ya kajua unawaambia wakuwekee kakiti juani huku unamalizia chupa zilizobaki, mda mwingine ndio unalala na hapo hapo
ahaha! muhimu kumrudia Mola aiseee, hapa nimebakiza miaka mitano tu, nitundike darugaa.. maana na nguvu zitakuwa zimeniishiiaa.. uzuri walevi hatuna dhambi zingine zaidi ya kulewa kwanza tupo wapole sana hatupendi maneno maneno
ahaha! muhimu kumrudia Mola aiseee, hapa nimebakiza miaka mitano tu, nitundike darugaa.. maana na nguvu zitakuwa zimeniishiiaa.. uzuri walevi hatuna dhambi zingine zaidi ya kulewa kwanza tupo wapole sana hatupendi maneno maneno