Selfika na JF: Snap it. Show it

haha! shisha walikuwa wanaongeza vitu vyao, plus maji ... aiseee, ila sasa hivi tumebakiza maji, ile unayachapaa kama hujazima, mida ya kajua unawaambia wakuwekee kakiti juani huku unamalizia chupa zilizobaki, mda mwingine ndio unalala na hapo hapo
haha! shisha walikuwa wanaongeza vitu vyao, plus maji ... aiseee, ila sasa hivi tumebakiza maji, ile unayachapaa kama hujazima, mida ya kajua unawaambia wakuwekee kakiti juani huku unamalizia chupa zilizobaki, mda mwingine ndio unalala na hapo hapo
Shisha mim hapana kwakweli πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wewe usyakua gwiji.
 
Wewe huyo thubutu utakua ushakua mzoefu
ahaha! muhimu kumrudia Mola aiseee, hapa nimebakiza miaka mitano tu, nitundike darugaa.. maana na nguvu zitakuwa zimeniishiiaa.. uzuri walevi hatuna dhambi zingine zaidi ya kulewa kwanza tupo wapole sana hatupendi maneno maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…