Selfika na JF: Snap it. Show it

🙄🙄🙄🙄unaleta uchonganishi nashukuru kamlango nimekafunga usiwatie jakamoyo wazee na ma aunt wa watu
Kwahiyo kusema ukweli uchonganishi? 🤣🤣🤣
Bana weeh mwenye hatimiliki ya babu ajitokeze hapa.! Kwani ma auntie nao wapo kwenye ligi ya babu?!! 😜

Em wajitokeze waseme wanacheza namba ngapi? 😂😂😂
 
Mtoto mkareee wewe kapeace huna mpinzani kabisaa.!! 😹
Mwili umebalance huna kitambi, halafu lips 👄 sasa awwwweh babu ataacha kuvuta kiko mbona 😂😂😂
Babu nae kafunga pm😂😂!!!
 
Kwahiyo kusema ukweli uchonganishi? 🤣🤣🤣
Bana weeh mwenye hatimiliki ya babu ajitokeze hapa.! Kwani ma auntie nao wapo kwenye ligi ya babu?!! 😜

Em wajitokeze waseme wanacheza namba ngapi? 😂😂😂
Babu ni wa wote kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
 
Babu ni wa wote kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
Woyooooooooooooooooo.!!!
Hayo ndo maneno sasa mahi 😹😹😹

Babu ni wa wote mwenye cheti cha ndoa bibi peke yake, hao masuria ni mwendo wa mkanyagano..!
Asiyeweza ligi za babu awapishe akacheze ndondo cup wakagombee kombe la mbuzi.! 🤣🤣🤣

Ila babu yangu G mitano tenah 😹😹
Babu mibibi unayo na unatamba nayo, uhangaike kutafuta pesa ujanani na uzeeni ushindwe kula pension yako na warembo awweh sio kweli.!! 🤣🤣🤣
 
Kemia ili ujue kubalance matoke na dagaa 😹😹😹🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Ile combo sijui shangazi aliitolea wapi aisee
Eqqn yake haibalance kabisa
Shangazi anatengeneza mabomu mazito ya Nyuklia
 
Babu lazima apatiwe joto joto ili aishi maisha marefu zaidi,
 
Shangazi anazidi kutupwa mbali
Atajikuta hata top10 anaikosa

Haya Kapeace
Achia picha hizo🔥🔥🔥
Dada mzuri mwenye id yake ya upole🔥
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…