Jf natumia email ya miaka 47 huko nadhani ni email ya smartphone Yangu ya kwanza huko hata sikumbuki password yake vipi haitohitaji password yahio email ili nisijisumbue??
Daaah, broo mimi issues za kupanda meli siziamini kabisa yani ndio maana mimi napenda kushinda nyumbani kuliko safari safari ili kuongeza nafasi ya maisha