Kuna nini mrembo? Mbona kama mmedukuliwa...ππππAhsante sana kwa ushauri huu mzuri Mkuu The Monk Nitaufanyia kazi. Ni kweli ukiweka isipokaa muda mrefu inafutika. Niliweka moja nikawahi kufuta, hata walioquote ikafutika kwenye quote zao. Shida naona ikikaa dakika nyingi, itafutika kwako, kwenye quote picha inakutolea macho π€£π€£π€£π€£π€£π€£.
Ile picha haina madhara, nimeiziba sana π π π .
Lamomy anatufurahisha humu ana pacha nkamu wake Saint Anne basi mbavu hatuna kwa maneno yao.
Uwe ma asubuhi njema. Kumekucha...
Aah thubutu siifuti Ya tangu mwaka Jana alafu ulipita mzima mzima nilikupenda hatari πππHahaha πππbana my mdogo usinichekeshe...ile picha yangu ulishaifuta..
Nakupenda pia kipenzi...ππwee kaka nayo tuu uwe unanikumbuka dada ako wa JF...Aah thubutu siifuti Ya tangu mwaka Jana alafu ulopita mzima mzima nilikupenda hatari πππ
Watruu na T tatru zaooooo auwweeeπππππππ!Usijal yupo mzima wa afya kabisa, anazidi kuziongeza T zake tatu tuπ
Mwana simba , wakwetu umetumia nini asee juzi tena ephen ananiambia anakupenda ππππNakupenda pia kipenzi...ππwee kaka nayo tuu uwe unanikumbuka dada ako wa JF...
Kabisa zimefika wala usijali shem wetuπ€Watruu na T tatru zaooooo auwweeeπππππππ!
Mie hapo T moja tu yani kitraaa kimegoma kupotea kabesaaa ndiokwanzaaaaaa kinaongezeka!
Mfukishie salamuuu
Juzi mlikua mnapumulia mashinee πππ!Mwana simba , wakwetu umetumia nini asee juzi tena ephen ananiambia anakupenda ππππ
Love you two Wee na E ako mingii mingiii!Kabisa zimefika wala usijali shem wetuπ€
Njoo pm nikupe ya bantu ladyπ€£π€£π€£Hizo picha manazosema hazijafutika ziko wapi jameni tuzione??
Bantu Lady Aaliyyah
Tupieni asubui muda huu wa chai tujipongeza
Mm zangu zinafutika πHizo picha manazosema hazijafutika ziko wapi jameni tuzione??
Bantu Lady Aaliyyah
Tupieni asubui muda huu wa chai tujipongeza
Rudia unibles nisafishepo macho jamaniiiiMm zangu zinafutika π
Kwakweli ninaitunzaNakupenda pia kipenzi...ππwee kaka nayo tuu uwe unanikumbuka dada ako wa JF...
Leo tunapika nini?? Andaa bas juiceMimi nilipakwa wanja km naenda kusasambua π€£π€£π€£
Hana mpinzani kabisa...mwali wetuTunasubiri somo Auntieπ₯π₯π₯
Hii sekta huna mpinzani tz nzima π₯
Paka hizo Ndevu super blanka π€£π€£π€£
Yan umenitamanisha Leo Nina mood ya mchemsho wa nyama na ndizi πLeo tunapika nini?? Andaa bas juice