Mpk asave kwanza ndio afute πππ
Ila unajipa hofu ya bure mahi, hata wakibaki nayo hakuna chenye watakufanya kwanza hawakujui wengi wapo mikoani simu wanachaji kwa solar πΉπΉπΉ
Mpk asave kwanza ndio afute πππ
Ila unajipa hofu ya bure mahi, hata wakibaki nayo hakuna chenye watakufanya kwanza hawakujui wengi wapo mikoani simu wanachaji kwa solar πΉπΉπΉ
Mpk asave kwanza ndio afute πππ
Ila unajipa hofu ya bure mahi, hata wakibaki nayo hakuna chenye watakufanya kwanza hawakujui wengi wapo mikoani simu wanachaji kwa solar πΉπΉπΉ
Baba yetu uliye Mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako uje
Mapenzi yako yatimizwe hapa Duniani,kama yanavyotimizwa huko Mbinguni
Utupe Leo rizki yetu
Utusamehe makosa yetu
Kama nasi tunavyowasamehe waliotukosea
Usitutie majaribuni
Bali utuokoe na yule muovu
Kwa kuwa ufalme ni wako
Na nguvu na utukufu
Hata milele
Amina.
Kwa mamlaka niliyo pewa kutoka kusini mwa jf nakuambia pumzika ulale unono Mimi kijana kutoka kigamboni nakutakia usiku mwema na nitakusomea Dua kwa mungu akukinge na wachawi wenye husda inshallah π