Selfika na JF: Snap it. Show it

Hips za please call me!!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚aaah nimekushindwaπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Nkamu macho yako yana darubini?
Unaona vayolensi isiyoonekana

Wewe ni kiboko
Kama bwana wa majeshi Alivyofanya njia pasipo na njiaπŸ˜‚
Ila tumeambiwa tusitaje Mungu kwenye ujinga
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nkamu ww weka tutatubu kesho, Yesu alikufa kwa dhambi zetu..!
Sasa dhambi zenyewe ndio km hiz kumtaja Mungu bila sababu 😹
 
Lakini Odo jamani Odo mweeh 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 kaone kwanza karembo haka. Nataka mwili kama wako, nitajipunguza mpakaaa
Ujipunguze ugundue nini?? πŸ˜‚πŸ˜‚
Jipunguze uone utakavyokuwa na gubu 😹

Hilo tandam lenyewe odo hata shem akipanga kuandika talaka anahairisha anatafuna 🀣🀣🀣
 
Ujipunguze ugundue nini?? πŸ˜‚πŸ˜‚
Jipunguze uone utakavyokuwa na gubu 😹

Hilo tandam lenyewe odo hata shem akipanga kuandika talaka anahairisha anatafuna 🀣🀣🀣
Angejichaanganya kuandika talaka mbona angejuta majungu ambayo tungempiga
 
Naomba wewe na Saint Anne muende Cheka tu. Haki mnatuvunja mbavu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…