Nenda ntakutunzia screenshot, kawatibie wagonjwa mkuu ππTunatka tukajenge taifa wajameni
Haha!!Chino wangu ππ
Haya tupia hb wa selfika, kitambo sijaona pic yako
Aiseeekumbe watu madr wa upasuaji na hamsemi
Umeanza utetezi ππHaha!!
Picha hazishuki huwezi amini, chaka sana huku.(Nikiingia kwenye hema langu ndo kabisa net inakata.
Kabisa πMkuu ephen_ wetu kapotea
sio sawaNenda ntakutunzia screenshot, kawatibie wagonjwa mkuu ππ
Hapana unatuangusha wanaume wa JF...ngoja nikuunge kwa wifi hapo chap tu π€£π€£(joking)Haha!!
Picha hazishuki huwezi amini, chaka sana huku.(Nikiingia kwenye hema langu ndo kabisa net inakata.
utani tuAiseee
unataka akose demuUmeanza utetezi ππ
Tupia hata Hilo chaka
Jimwage hapa meku tufahamianeutani tu
ππEndelea Mangi π
Aaaah jirani unakwama sasaπ!Sina jirani...kasimu kangu kabovu usiku huuπ€£
Net ikikaa fresh utafurahiUmeanza utetezi ππ
Tupia hata Hilo chaka
Kwani wanatupia pic wapate mademu?? π€£π€£unataka akose demu
ahah ndio maisha yetu ya jfKwani wanatupia pic wapate mademu?? π€£π€£
Kuna mmoja alikuwa anatupia pics yuko maandishi matatu, (USA) siku ya siku nimemuona kwenye uzi mmoja analalamika mbegu alizopanda shambani kwake mkoa il huko hajizastawi π€£π€£π€£
Anaomba ushauri kwa mabwana kilimo wamsaidie π€£π€£