Selfika na JF: Snap it. Show it

Watu wa Dodoma wametuulia msanii wetu
Jamaa alikuwa fundi sana
Hii imeniuma sana, R.I.P Man Dojo, mmoja Kati ya watu wangu wa nguvu, Njia ni Moja...Rest in Peace Bro....
Nimesoma mitandaoni
Watu wengi wanatumia sana Ila shida ya sisi watanzania
Ni kama tumewatupa wasanii wetu wa zamani
Hatuzidi tena airtime nyimbo zao
Siyo maredioni siyo wapi

Ila sasa wakifa ndio tunaaanza kuhuzunika na kuonyesha tunawapenda sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…