πΉπΉπΉEbhanaeeeee rich auntieeee π₯π₯π₯π₯
Usijali nkamu limeisha hilo πNkamu
Nyofoa moja unipe
Fanya mpango sasa hata $500 niingie Tips nikasafishe macho sahv ππΉπΉπΉ
Sijui ni lini hela za bongo zitakuwa na thamani, hizo zingekuwa madafu yetu hio sehemu ingejaa hela tupuPicha maalum kwaajili ya raraa reree πΉ
Mkinga na kuhonga wapi na wapi? πΉπΉFanya mpango sasa hata $500 niingie Tips nikasafishe macho sahv π
Nitakurudishia πMkinga na kuhonga wapi na wapi? πΉπΉ
We huogopi?
Acha kabisa pesa za bongo hapo zingejaa kifungashio cha 500.!Sijui ni lini hela za bongo zitakuwa na thamani, hizo zingekuwa madafu yetu hio sehemu ingejaa hela tupu
Kwahiyo unakopa? πΉπΉNitakurudishia π
Asset nina π tuu πKwahiyo unakopa? πΉπΉ
Nida namba yako pls
Na barua kutoka kwa mtendaji bila kusahau mdhamini na dhamana ya asset yako.!! π
Changamoto mno, kuna siku nilibeba milioni 5 keshi ni kamzigo fulani kanachokukosesha utulivu ila ingekuwa za wenzetu unaweka kwenye walet tu, wakati ufike kuwe na noti ya lakiAcha kabisa pesa za bongo hapo zingejaa kifungashio cha 500.!
Shilling haina thamani na hivi dollar imepanda ndio kabisa ukibeba 50m una bonge la mzigo.!
Chemsha uvinywe supu πΉπΉAsset nina π tuu π
Supu π labda nikate na π½Chemsha uvinywe supu πΉπΉ
πΉπΉπΉ noti ya laki.!!Changamoto mno, kuna siku nilibeba milioni 5 keshi ni kamzigo fulani kanachokukosesha utulivu ila ingekuwa za wenzetu unaweka kwenye walet tu, wakati ufike kuwe na noti ya laki
Vyote chemsha katia na pilipili kamulia na ndimu vinanoga sana.!! πΉπΉSupu π labda nikate na π½
Hili guu sio poa ujue πPicha maalum kwaajili ya raraa reree πΉ
Umenikumbusha mbali KariakooUsijali nkamu limeisha hilo π
Sure Kuna siku nilibeba hivi miaka mitano nyuma japo safari ilikuwa ndefu ila sikua na wasi wasi kabisa yaaniπΉπΉπΉ noti ya laki.!!
Umefanya nicheke aiseee.!!
Mzungu pesa yake ukiibeba kuna ka confidence flani kanakujaga automatically
Njoo ulibebe πΉπΉHili guu sio poa ujue π
Weee embu tupia nyingine πNjoo ulibebe πΉπΉ