Mimi sikuwahi kujua kama kuna mambo ya maji
Nilivyokua advance rafiki yangu T alinifata akaniambia ephen Unamuona yule demu nikamwambia yes (huyu binti tulikua wote class moja )
akaniambia jana kanipa show ila akajikojolea😂
Mimi nikawa nikimuona yule binti namuangalia mara mbilimbili
Sasa hivi ndio najua kua hakujikojolea hata huyo T huko alipo ameshaelewa demu sio kikojozi.