Selfika na JF: Snap it. Show it

😁😁 kwenye harakati zangu za uzinzi sijawahi kukutana na hayo maji😁😁
Mimi sikuwahi kujua kama kuna mambo ya maji
Nilivyokua advance rafiki yangu T alinifata akaniambia ephen Unamuona yule demu nikamwambia yes (huyu binti tulikua wote class moja )
akaniambia jana kanipa show ila akajikojolea😂

Mimi nikawa nikimuona yule binti namuangalia mara mbilimbili
Sasa hivi ndio najua kua hakujikojolea hata huyo T huko alipo ameshaelewa demu sio kikojozi.
 
Sasa ivi ulijuaje juaje? Ebu fafanua kinaga ubaga.
 
Hahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…