Ni kweli lakini Kuna kazi ukifanya ngwengwe hutaipata kwa upeku hata kwa kuchoma na kitu chenye ncha Kali kwa lazima .
PEP vimekuwq vidonge vyetu ,waheshimiwa wizara ya afya na wizara ya ulinzi najua mnaelewa naongea Nini tafadhali msaada wa vifaa ni muhimu mno na sisi tuna familia na pia tuna wapenzi wanatupenda Ila njaa na uzalendo vimetuweka kwenye hizo shughuli .