Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha.........pole Mkuu

Ninyi kama Vijana mnatakiwa kuongeza umakini, msikubali kucheza peku unless huyo mtu mmepima naye mara kadhaa pamoja

Taifa bado linawahitaji Kwa maendeleo πŸ’ͺ
Ni kweli lakini Kuna kazi ukifanya ngwengwe hutaipata kwa upeku hata kwa kuchoma na kitu chenye ncha Kali kwa lazima .
PEP vimekuwq vidonge vyetu ,waheshimiwa wizara ya afya na wizara ya ulinzi najua mnaelewa naongea Nini tafadhali msaada wa vifaa ni muhimu mno na sisi tuna familia na pia tuna wapenzi wanatupenda Ila njaa na uzalendo vimetuweka kwenye hizo shughuli .
 
Kazi zipi Mkuu ambazo ukifanya ngono peku hupati HIV/AIDS?

Kuepekua maambuzi ni kutokuwa na Wapenzi wengi/kutokufanya ngono zembe n.k
 
Nougaaa sanaa Ajattttt unajistiri hadi rahaaaaaaπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯😍😍😍😍😍😍😍😍!

Hakika asubuhi yangu inaenda kuwa bareeeeeda kabesaaa

Santo sana
πŸ˜ƒπŸ˜ƒAsante sana madam
 
Kazi zipi Mkuu ambazo ukifanya ngono peku hupati HIV/AIDS?

Kupekua maambuzi ni kutokuwa na Wapenzi wengi/kutokufanya ngono zembe n.k
Babu nimejichanganya namaanisha kupata ngwengwe muda mwingine sio kufanya peku Ila Kuna kazi n risk tu kwakuzifanya kupata ngoma n kugusa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…