Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi Kwa Nini Huwa Huli mboga Daktari?
Napenda sana 🥬 Jo, ila sasa nimehamia sehemu ambayo siwezi kuendeleza ka-system kangu ka zamani.

Nilikuwaga nikienda sokoni kuna mmama ananisafishia vyakutosha alafu ananikatia za kukata na za kuchambua anachambua, nakua na mboga za kula wiki nzima. Sasa hivi nimehamia sehemu nyingine, sokoni mbali panatia uvivu kwenda, na siku nikienda napata tabu kuchagua pakununua maana sijawazoea.😵😵

Ila namiss sana.😔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…