PUFF DADDY
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 391
- 808
hili jina nikiitikio cha dua shekhee acha umalayaaaaHello aamina π€
Umefanana na Mjukuu wangu mmoja, sijui kwanini nafsi inataka kuniambia ni wewe ππ
Kunde zile nyekundu wanazouza madukani! Ndo hizo mbichi au kavu mimi sijuiπ€£π€£π€£ Yaani asubuhi ushakula,mie bado nazungukazunguka tu...Hizo kunde mbichi au kavu?nimehisi kitakuwa kitamu
Mimi mpembaaSasa mbona unaandika kama mndengereko wakati we mzaramo?
Mbichi namaanisha zikiwa bado za kijani tunazochanganya kwenye kisamvu... anyway nimekupata vyemaKunde zile nyekundu wanazouza madukani! Ndo hizo mbichi au kavu mimi sijui
Yakheeeee Wala urojo?Mimi mpembaa
Ungejutaπ€£Kwa kweli π
Japo nilishaanza kumtungia mistari, ilibaki njiwa afike tu nimtume π
Ebhanaeeeeeeee π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯Good Morning Selfikaπ₯
View attachment 2984222
Hatari πUngejutaπ€£
Inanitokeaga hasa Kama mtu sijamzoea ila namzimikia sanaMoyo unaenda kasi! Mikono inatetemeka kwa sababu gani?
nanii huyoo weyeeBabu tuko pamoja,ila tuuchune maana huyo mjukuu wako unaemuwazia ni most wanted dead or alive,wakimgundua tu wanamsweka rumandeπ₯²π₯²
mshamba_hachekwi njoo unitolee huyu mtuπ mnapenda kusifia hovyoooEbhanaeeeeeeee π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯
Pole! Basi potezea ili moyo wako usiende tena kasiInanitokeaga hasa Kama mtu sijamzoea ila namzimikia sana
mie nala papaa tuuYakheeeee Wala urojo?
Amefanya nini hadi awe wanted kiasi hicho?Babu tuko pamoja,ila tuuchune maana huyo mjukuu wako unaemuwazia ni most wanted dead or alive,wakimgundua tu wanamsweka rumandeπ₯²π₯²
Kusifia hovyo ndio kukoje huko ephen_ πmshamba_hachekwi njoo unitolee huyu mtuπ mnapenda kusifia hovyooo
Sawa nafanya hivyoPole! Basi potezea ili moyo wako usiende tena kasi
Ulitaka kusema Amen πhili jina nikiitikio cha dua shekhee acha umalayaaaa