Mhhh mwaka gani huo.Nilishawahi kutuma humu mbona? Labda kama ulikuwa hujajiunga
Pole kwa kukosa ushawishi.pole yanini tena mrembo mwenye shepu yake
Why nikucheke?....weka picha ili wanaanzisha nyuzi wawajue jinsi mlivyo. Na sio wanaanzisha kichwa kichwa kama wanabet πNitume picha ili unichekeπ€£β
sijakushawishi kumbeππPole kwa kukosa ushawishi.
Em tuma picha nikuone kwanza kama unaweza mzidi mwili lababa mshamba_hachekwisijakushawishi kumbeππ
Ukitaka kuniona angalia avatar yanguWhy nikucheke?....weka picha ili wanaanzisha nyuzi wawajue jinsi mlivyo. Na sio wanaanzisha kichwa kichwa kama wanabet π
Ahahahahah π€£ π€£ π€£ π€£Why nikucheke?....weka picha ili wanaanzisha nyuzi wawajue jinsi mlivyo. Na sio wanaanzisha kichwa kichwa kama wanabet π
Nitatongozeaje nyumba za watu sasa? Una akili za ajabu kweli.acha kupiga picha nyumba zawatu wee Mzee ili uje kutongozea mademu jf
Acha janja janja, tuma πUkitaka kuniona angalia avatar yangu
Mbona wewe ni huyo wa kwenye avatar sema hapo umeng'aa kidogoπ
Ule Uzi ulifutwa mtani. Haupo tena jukwaaniAhahahahah π€£ π€£ π€£ π€£
By the way ule uzi wetu umeisha? Sioni updates mbona?
Acha janja janja, tuma π
Kwenda zako πSitumi sitaki unijueπ
Utajiju....!Kwenda zako π
But whhy???Ule Uzi ulifutwa mtani. Haupo tena jukwaani
Kuna mtu kainunua, so akanizuia kuiweka hadharani.But whhy???
πππUtajiju....!